Tuesday, October 20, 2009

NABII CHAPOMBE


Huyu ndiye Nabii Tito (Cha Pombe) ambayeamekuwa akizunguka mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam kuwashawishi watu wanywe pombe maana siyo dhambi kufanya hivyo.
Akiwa kwenye anga zake, kabla hajaanza kupiga mahubiri kwanza ana “beha” msuba (anavuta sigara), kisha anaipiga nyundo, ndipo anaanza mahubiri.
Picha hii inamwonyesha akiwa mtaa wa Samora katikati ya jiji la Dar es salaam, akivuta sigara kabla hajaanza mahubiri yake.
Maandiko anayotumia nabii “Chapombe” haya hapa,
1Timotheo 5: 23
1Timotheo 3: 7- 8
Mithali 31: 6- 7
Mhubiri 9: 7- 8
Mwanzo 9: 20- 21
Luka 7: 33 – 35
Luka 22: 14 20
Yohana 2: 1- 11
Tito 2: 3
Wakolosai 2: 10 – 16
Mwanzo 19: 31 – 35

Haya wadau, ukweli ni upi?

No comments:

Post a Comment