Wednesday, October 28, 2009

Gavana wa kwanza wa Tanzania na mwanzilishi wa Chadema, Edwin Mtei, hivi karibuni amezindua kitabu cha wasifu wa maisha yake. Kitabu hicho kina stori ya kusisimua sana kuhusu maisha yake sambamba na utawala wa Nyerere. Utasoma jinsi alivyokorofishana na Nyerere hadi akajiuzulu.
Aliyekizindua ni Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi na kuhudhuriwa na watu mashuhuri na waandishi wa habari.












No comments:

Post a Comment