Monday, October 17, 2011

MAMBO YA BUTIAMA

Nimepozi na Mama Maria Nyerere nyumbani kwake Mwitongo




Kaburi la Mwalimu Nyyerere



Nyumba hii Nyerere aliishi siku 17 tu


Nyumba aliyojengewa mwaka 1974


Gari alilopanda kwa mara ya mwisho

MAMBO YA BUTIAMA

Hili ndilo kanisa alilokuwa akisali Mwalimu Nyerere



Mkurugenzi wa Makumbushio ya Mwalimu Nyerere Emmanuel Kiondo





Hiyo ndiyo suti na viatu alivyokuwa akipenda kuvaa Mwalimu Nyerere