Friday, December 9, 2011

MWANDISHI BORA MWANANCHI 2011

Mwandishi wa gazeti la Mwananchi Elias Msuya akikabidhiwa zawadi zake baada ya kutangazwa mshindi katika sherehe za kuaga mwaka zilizofanyika Tabata relini jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kutoka kulia ni Meneja utumishi (HR-Manager) Victoria Muro, Mkurugenzi aliyemaliza muda wake Sam Shollei, Kaimu mkurugenzi Theophil Makunga na mhariri wa gazeti la Mwananchi Dennis Msaki.



Marafiki zake Elias Msuya wakimshangilia baada ya kutangazwa mshindi