Monday, May 30, 2011

HE'S BACK

Ilikuwa ni furaha tupu katika familia baada ya First born wa familia David, kurudi nyumbani baada ya miaka 16 ya kuwa ughaibuni. Kwanza tulimshukuru Mungu kanisani, halafu tukarudi nyumbani kusherehekea
Hapa tulikutana Muheza Tanga anakoishi mama.


Feel at home


At church




















It facinates