Saturday, January 30, 2010

FAUSTIN NA NIPANEEMA WALIPONG'ARA

Ilikuwa ni furaha tupu pale Faustin na Nipaneema walipofunga ndoa katika kanisa katoliki la Mt. Joseph na reception kumwagwa katika ukumbi wa Mliman City jijini Dar es salaam hivi karibuni.





KILIMO KWANZA


Huu mkakati wa kilimo kwanza umeshika kasi kweli kweli. lakini ukipita maeneo mengi watu hawalimi, utaishia kuwa nyimbo tu.







Kilimanjaro, Wataalam wanadai eti theluji inayeyuka kila kukicha, Kilimanjaro kaeni mkao wa kula maji yatakapokauka.



Sijui atarudi lini?


Wihin a short time, the man who shock the world with a cumbersome wedding is now in long waiting of his wife who is in London for studies.

Monday, January 4, 2010

NI YEYE!! GODLOVE NA MATILDA WALIVYOFUNIKA


Baada ya kila kitu ikawa ni furaha tu katika ukumbi wa Five Star wa Mbezi Dar es Salaam.













Ni yeye bwana, du!
Ndivyo anavyosema Godlove Lwendo baada ya kufunua shela ya bibi harusi, Matilda Nkanda wakati wakifunga ndoa katika kanisa la TAG Kigogo Dar es salaam, January 3, 2010. Ilifana sana









kwa pete hii, nakuchukua uwe mume/mke wangu wa ndoa













Tayari, wanatuchelewesha tu!










Pleasant Vocalists




Wazazi wa bwana harusi




























Hapo vipi?
















Vurugu tupu

















Sijui nitaoa lini, anajiuliza kijana huyu (kulia) aliyekubuhu katika ukapera.














Msajili wa ndoa hiyo alikuwa ni Askofu Magnus Mhiche wakati Mwenyekiti wa kamati alikuwa ni Mchungaji, Titus Mkama (kulia)




I