Saturday, January 30, 2010

FAUSTIN NA NIPANEEMA WALIPONG'ARA

Ilikuwa ni furaha tupu pale Faustin na Nipaneema walipofunga ndoa katika kanisa katoliki la Mt. Joseph na reception kumwagwa katika ukumbi wa Mliman City jijini Dar es salaam hivi karibuni.





No comments:

Post a Comment