Tuesday, December 29, 2009

Huu ni mwaka wa harusi tu, kudadadadeki

Godlove Lwendo akimvisha pete Matilda Nkanda katika engagement party ilofanyika katika kanisa la TAG kigoo.
Kushoto "mama mzaa chema" akifurahia mwanaye kupaa 'chombo'

































naye Sunday Gordian hakubaki nyuma, kwani aliamua kumchukua Neema Dabaga Jumla jumla. Hapo anamlisha keki.

CHRISTIMAS DAR ILIKUWA BOMBA

Ilikuwa shamrashamra za kukata na na shoka katika ukumbi wa Diamond Jubilee, pale kundi la Upendo (kushoto) lilipokuwa likitimiza umri wamiaka 10 katika nyimbo za Injili.





Huyu ni Upendo Nkone akiimba ule wimbo wake wa 'Mungu baba"














Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzaia , Samuel Sitta akizindua album yao

Wednesday, December 16, 2009

KAZI NI KAZI

Uzinduzi wa album lini?

Jamaa akiwa anapiga gitaa lake kwa hisia kali maeneo ya Posta mpya kati kati ya jiji la Dar es Salaam, huku akiwa ameweka bakuli lake jekundu juu ya spika ili wapita njia watoe chochote . Sijui uzinduzi wa album utakuwa lini?







Hapa trip mbili tu anajenga nyumba. Jamaa huyu alikuwa akisubiri foleni kwenye mataa pale Ubungo. Yaani mataa yalikuwa yakimcheleweshea dili zake tu.

Monday, December 7, 2009

DAU LA MNYONGE HALIENDI JOSHI


Mvuvi katika pwani ya Sahare Tanga akitumia ngalawa kuandaa vifaa vya uvuvi hivi karibuni

NDOA NI BARAKA



Daniel Mgaya wakibariki ndoa yao katika kanisa la Tanzania Assemblies Magomeni hivi karibuni.




MEDIA DAY

wanamuziki wa Msondo (Displin) wakiwaburudisha wana habari waliofurika katika fukwe ya Mssasani Beach Club Media day.






Sunday, December 6, 2009

SHEREHE ZA KUFUNGA MWAKA MWANANCHI

Mkurugenzi wa Mwananchi Communication Sam Sholei, akizingumza na wafanyakazi katika sherrehe za kufunga mwaka, jijini Dar es Salaam.


Disco likaanza.
Edwin Mjwahuzi (mpiga picha) na Fatuma Graphic desiner) wakilisakata dance


Migongo ipo!





Kaka enu wa Australia