Sunday, October 11, 2009

SIMON ALIPOJICHUKULIA JIKO LAKE

"Mnaiona hii?" Ndivyo anavyoonekana kusema Mchungaji Mkama wa Kanisa la TAG Ilala aliyekuwa akisajili ndoa kati ya Simon Mmbaga na Joyce Tembo iliyofungwa katika kanisa la TAG Kigogo. Sherehe za harusi hiyo zilifanykia katika ukumbi wa baraza la maaskofu wa Katoliki Kurasini jijini Dar es Salaam.





Nakuvalisha Pete hii.......

Mguu pande.....





No comments:

Post a Comment