Wednesday, October 14, 2009

MIAKA 10 YA INJILI, TANZANIA KWA YESU

Kanisa la Tanzania Assemblies Of God limezindua Mkakati wa kuhubiri injili kwa kasi uitwao, "Miaka 10 ya Injili Tanzania kwa Yesu". Katika picha hizi anaonekana mhubiri aliyetambulika kwa jina la Mrs Lema akihubiri mkutano wa Injili Mburahati jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulipambwa na kwaya mbali mbali.












1 comment: