Friday, May 31, 2013

MATOKEO YA KITADO CHA SITA NA CHA NNE..

Matokeo ya kidato cha nne na kidato cha sita yatoka,yameongeza kwa asilima tisa.HONGERA KWA WOTE MLIFANYA VIZURI LAKINI POLENI PIA KWA WALE MLIFANYA VIBAYA kuna msemo unaosema "KIFELI MTIHANI SIO KUFELI MAISHA"bado unanafasi nzuri ya kufanikiwa katika maisha endapo utajituma huku ukimtanguliza MUNGU katika kila kitu unachokifanya sambamba na kutumia rasilimali zilizokuzunguka vizuri.ilikupata matokeo waweza kutembelea website hii www.necta.go.tz

No comments:

Post a Comment