Thursday, June 30, 2011

NAPE ALIPOTEMBELEA MWANANCHI

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM akiangalia magazeti yaliyochapishwa katika mitambo iliyopo ofisi za Mwanancho Communication.
Picha ya chini akiwa katika mazungumzo na baadhi ya wahariri na waandishi waandamizi wa Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti.





No comments:

Post a Comment