Wednesday, October 13, 2010

KIKUBWA PUMZI


Joshua Lwendo akimvisha pete ya uchumba Happy Sasali katika kanisa la TAG kigogo hivi karibuni. Nasikia ndoa yao itakuwa December. Hapo Joshua anaingia kwenye majukumu kama baba, kaza msuli, kikubwa pumzi tu.

No comments:

Post a Comment