Sunday, October 24, 2010

DK SLAA ITV

Mengi yamesemwa kuhusu mahojiano ya Dk Slaa na ITV. Lakini mimi niliyeshuhudia mahojiano hayo, kwakweli nampongeza Dk Slaa kwa uwezo wake kujibu maswali.

Wanaosema hakusema kitu, mbona wamemkimbiza mgombea wao kwenye midahalo?

No comments:

Post a Comment