Thursday, August 5, 2010

KEKI YA BIRTHDAY


Kama mmezoea kukata keki kubwa zenye ngazi, mjue hayo yamepitwa na wakati, hiyo ndiyo keki ya kisasa.
Msanifu mkuu wa gazeti la Mwananchi Angetile Osia akikata keki ya birthday yake, kushoto kwake ni mwandishi wa habari za burudani, Julieth Kulangwa.

No comments:

Post a Comment