Tuesday, August 3, 2010

KANISA LAZIDI KUSHAMIRI PEMBA

Baadhi ya washirika wa kanisa la TAG Chakechake Pemba wakiwa kwenye ibada hivi karibuni.
Kwa sasa kanisa hilo linakua kwa kasi kisiwani humo ambako idadi ya wakazi wake wengi ni waislamu.




No comments:

Post a Comment