Thursday, July 1, 2010

WABONGO NA KUSAJILI LINE ZA SIMU

Walipotangaza kuongeza muda, watu wakawa hawaendi. siku zilipokaribia kwisha ndiyo wanajazana. Siku zimeongezwa tena, hukuti mtu kwenye usajili, wanasubiri siku za mwisho.

Hata sasa hivi watu wakiambiwa kuwa Yesu atarudi mara ya pili, hawaamini kabisa. Sasa tofauti yake ni kwamba, kwa Mungu hakutakuwa na muda wa nyongeza wa kutubu.








No comments:

Post a Comment