Tuesday, December 29, 2009

CHRISTIMAS DAR ILIKUWA BOMBA

Ilikuwa shamrashamra za kukata na na shoka katika ukumbi wa Diamond Jubilee, pale kundi la Upendo (kushoto) lilipokuwa likitimiza umri wamiaka 10 katika nyimbo za Injili.





Huyu ni Upendo Nkone akiimba ule wimbo wake wa 'Mungu baba"














Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzaia , Samuel Sitta akizindua album yao

No comments:

Post a Comment