Monday, May 17, 2010

MAMBO YA ARUSHA

Wale waliokuwa wakisema kuwa "Utamaliza kuni kwa kuchemsha mawe" wamechemsha. Soma hii........ (Mawe yameiva, kuni zimebaki)
















Huyu mwendesha mkokoteni au bepari?


Hapo ndiyo Arusha
Huu mnara sasa umeshapoteza maana yake kwani wakazi wa Arusha sasa wanautumia kupigia picha za video, hawakumbuki tena lile Azimio la Arusha.



No comments:

Post a Comment