Yamejiri Bungeni hivi karibuni!EL: "Sasa ndugu yangu PM, kwani ni lazima ku-discuss tena mambo ya Richi? Si waambieni tu kwamba tushasovu kiaina?.
PM: "Ndugu yangu mi naona haina haja ya kuhofu, we kaa pale usikilize tutakalowaambia, don't worry about it".
Wezi hao. Unatusahau sana bwana sisi wadau wa blog yako. kila ukifungua unakuta toyota. mwe!
ReplyDelete