Monday, November 2, 2009

UGONJWA WA MTOTO WA JICHO UNAVYOSUMBUA SINGIDA

Madaktari wa Taasisi ya Billal ya Arusha na wale wa hospitali ya Singida wakifanya upasuaji kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na mtoto wa jicho. Ugonjwa huo unasababisha na hali ya joto na ukame, hali ambayo iko katika mkoa wa Singida.





Upasuaji





Sindano ya ganzi huchomwa kabla ya upasuaji.

No comments:

Post a Comment