Thursday, January 3, 2013

Dar es salaam leo ni mvua na foleni za magari

div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">

Wednesday, December 26, 2012

CHRISTMAS AND BOXING DAY AT KIGAMBONI Safari ya kwenda Kigamboni ilipoanza
Wapare walipokwenda beach
Christmas na boxing day ilivyosherehekewa na 'B' Family katika beach ya Baracuda Kigamboni jijini Dar es Salaam. Hapo Abel akitoa mahubiri.
Kama kawaida, michezo ya kuvuta kamba kwa wanaume, wanawake na wanaume ilikuwepo
Waimbaji wa Messengers walikuwepo kupamba

Friday, December 9, 2011

MWANDISHI BORA MWANANCHI 2011

Mwandishi wa gazeti la Mwananchi Elias Msuya akikabidhiwa zawadi zake baada ya kutangazwa mshindi katika sherehe za kuaga mwaka zilizofanyika Tabata relini jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kutoka kulia ni Meneja utumishi (HR-Manager) Victoria Muro, Mkurugenzi aliyemaliza muda wake Sam Shollei, Kaimu mkurugenzi Theophil Makunga na mhariri wa gazeti la Mwananchi Dennis Msaki.



Marafiki zake Elias Msuya wakimshangilia baada ya kutangazwa mshindi

Monday, October 17, 2011

MAMBO YA BUTIAMA

Nimepozi na Mama Maria Nyerere nyumbani kwake Mwitongo




Kaburi la Mwalimu Nyyerere



Nyumba hii Nyerere aliishi siku 17 tu


Nyumba aliyojengewa mwaka 1974


Gari alilopanda kwa mara ya mwisho