Wednesday, December 16, 2009

KAZI NI KAZI

Uzinduzi wa album lini?

Jamaa akiwa anapiga gitaa lake kwa hisia kali maeneo ya Posta mpya kati kati ya jiji la Dar es Salaam, huku akiwa ameweka bakuli lake jekundu juu ya spika ili wapita njia watoe chochote . Sijui uzinduzi wa album utakuwa lini?







Hapa trip mbili tu anajenga nyumba. Jamaa huyu alikuwa akisubiri foleni kwenye mataa pale Ubungo. Yaani mataa yalikuwa yakimcheleweshea dili zake tu.

Monday, December 7, 2009

DAU LA MNYONGE HALIENDI JOSHI


Mvuvi katika pwani ya Sahare Tanga akitumia ngalawa kuandaa vifaa vya uvuvi hivi karibuni

NDOA NI BARAKA



Daniel Mgaya wakibariki ndoa yao katika kanisa la Tanzania Assemblies Magomeni hivi karibuni.




MEDIA DAY

wanamuziki wa Msondo (Displin) wakiwaburudisha wana habari waliofurika katika fukwe ya Mssasani Beach Club Media day.






Sunday, December 6, 2009

SHEREHE ZA KUFUNGA MWAKA MWANANCHI

Mkurugenzi wa Mwananchi Communication Sam Sholei, akizingumza na wafanyakazi katika sherrehe za kufunga mwaka, jijini Dar es Salaam.


Disco likaanza.
Edwin Mjwahuzi (mpiga picha) na Fatuma Graphic desiner) wakilisakata dance


Migongo ipo!





Kaka enu wa Australia

Tuesday, November 3, 2009

TWANGA PEPETA IMEPATA MNENGUAJI MPYA?

Mbunge wa Singida mjini, Mohamed Dewji akilicheza Twanga na wanenguaji wa bendi hiyo katika viwanja vya Namfua Singida mjini.










Monday, November 2, 2009

UGONJWA WA MTOTO WA JICHO UNAVYOSUMBUA SINGIDA

Madaktari wa Taasisi ya Billal ya Arusha na wale wa hospitali ya Singida wakifanya upasuaji kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na mtoto wa jicho. Ugonjwa huo unasababisha na hali ya joto na ukame, hali ambayo iko katika mkoa wa Singida.





Upasuaji





Sindano ya ganzi huchomwa kabla ya upasuaji.